Site icon k24.co.ke

GRADE 9 KISWAHILI LESSON NOTES

GRADE 9 KISWAHILI LESSON NOTES

SEKONDARI AWALI

KISWAHILI

GREDI YA 9

2025

1.   USAFIWAMAZINGIRA

1.1.     Mjadala

 

Mfanowamjadala:MatumiziyaTeknolojiakatikaElimu

Petero       :    Nashukurukwakunipanafasihii.Teknolojiainamchangomkubwakatikakuboresha elimu, hasa katika enzi hii ya dijitali. Kwanza, teknolojia inawezesha wanafunzi kupata taarifakwaurahisizaidi. Kwamfano,kwakutumiamtandao,wanafunziwanawezakupata vitabu,makala,narasilimalinyinginekwaurahisibilakujalimahaliwalipo.Pia,matumizi ya vifaa vya elektroniki kama kompyuta na vidonge husaidia wanafunzi kujifunza kwa njia ya picha, video, na maandiko, jambo ambalo linawaongezea ufanisi wa kujifunza.

Pili,teknolojiainasaidiawalimukatikakufundishakwanjiaborazaidi.Kwamfano, walimu wanaweza kutumia programu maalum za kujifunzia na zana za mtandao kutoa mafunzo kwa njia ya muktadha au video. Hii inawasaidia wanafunzi kuelewa masomo kwa njia ya kuvutia zaidi. Hivyo, matumizi ya teknolojia katika elimu ni muhimu sana kwa maendeleo ya kisasa.

Amanda:Nashukuru. Ingawa ni kweli kwamba teknolojia ina faida nyingi, lakini hatufai kupuuza baadhi ya changamoto zinazohusiana nayo. Kwanza, si kila mwanafunzi anayeweza kufikiateknolojia.Katikamaeneoyavijijininafamiliamaskini,upatikanajiwavifaa vya

 

 

teknolojiakamakompyutanaintanetinichangamotokubwa.Hiiinawafanyawanafunzi wa maeneo hayo kushindwa kupata fursa sawa na wenzao wa mijini.

Pili,matumiziyateknolojiayanapoongezeka,kunahatariyakupotezamawasilianoyaana kwa ana kati ya wanafunzi na walimu. Elimu ya kimwili na mwingiliano wa kijamii ni muhimukwaukuajiwakijamiinakimaadiliwawanafunzi.Ikiwawanafunziwanategemea zaidi teknolojia, huenda wakapoteza ufahamu wa uhusiano wa kibinadamu na maadili ya msingi.

Petero       :    Nashukuru kwa maoni yako. Hata hivyo, napenda kusema kuwa, hata kama upatikanaji wa teknolojia ni changamoto katika baadhi ya maeneo, serikali na mashirika yasiyokuwa yakiserikaliyanafanyajuhudizakutoavifaavyateknolojiakwashulenawanafunzi wasiojiweza.Aidha,kunamikakatiyakuongezaupatikanajiwaintanetikatikamaeneoya vijijini.

Pia, elimu ya mtandaoni na matumizi ya teknolojia hayapaswi kuondoa mawasiliano ya anakwaana.Badalayake,yanawezakuwanyongeza.Teknolojiainapotumikakwa usahihi,inawezakumwezeshamwanafunzikufikiamasomoyaziadanakuongezamaarifa yake bila kupoteza umuhimu wa mawasiliano ya kijamii.

Amanda    :    Nikweli,juhudizakuongezaupatikanajiwateknolojiazinahitajika,lakinibadokuna tofauti kubwa kati ya miji na vijijini. Hii inahitaji juhudi kubwa zaidi. Aidha, napenda kuongezakuwa,teknolojiainawezakuletautegemezimkubwakwawanafunzi.Wanafunzi wanaweza kuwa wanatumia teknolojia kutafuta majibu badala ya kufikiri kwa kina na kutatuamatatizokwanjiayaubunifu.Hiiinawezakupunguzauwezowaowakujitegemea.

 

 

 

1.2.     Viakifishi:Alamayakoloninasemikoloni

a)      Alamayakoloni(:)

Alamayakoloni hutumiwa:

  1. Kutangulizamanenokwenyeorodha,kwamfano:Ilikudumishausafiwamazingira,utahitaji kuwa na vifaa hivi: ufagio, reki, pipa la taka na ndoo ya kupigia deki.
  2. Kutengajinalamsemajinamanenoyakehalisikatikamazungumzoautamthilia,kwamfano: Timona: Mioshi kutoka viwandani huchafua mazingira.
  3. Kutengasaanadakika,kwamfano:ShughuliyakusafishamtaawetuitafanyikaJumamosi kuanzia saa 8:00 asubuhi.
  4. Kuonyeshasehemuyapiliyasentensiinayofuatawazokatikasehemuyakwanza,kwamfano: Utunzaji wa mazingira ndio chanzo cha uhai: tukiupuuza, tutajiangamiza.
  5. Kutengasuranamistarikatikamaandishikamayakitaalumaau

 

b)      Alamayasemikoloni(;)

Alamayasemikolonihutumikakamaifuatavyo:

  1. Kutenganisha orodha ya maneno au vifungu, ambapo orodha imetenganishwa na koma, kwa mfano:Ukiendamjiniutanunuamaembe,mboga,naviazisokoni;unga,sukari,nasabunikatika duka la jumla; na nyama katika bucha.

 

 

  1. Kuunganishamawazoyanayohusianabilakutumiakiunganishi,kwamfano:Vyoohivyovya umma ni safi; wafanyakazi wanavisafisha kila mara. Sisi tulinunua mapipa ya kutupia taka; hatukuwa na pesa za kununua mashine za kusagia karatasi.
  2. Kutengamaelezokwenyeorodhandefuyamaelezoausentensindefu,kwamfano:Kunanjia nyingizakutumiatakavyema;kuzikusanya,kuzitenga,nakuzitiakwenyemapipamaalumu tofautitofauti; kuzitumia upya, na kuzisaga kwa mashine maalum.

 

1.3.     Vihusishivyamahalinavyawakati

a)      Vihusishivyamahali

 

b)      Vihusishivyawakati

 

2.   MAZOEZIYAVIUNGOVYAMWILI

2.1.    Sautiya/b/na /mb/

  1. /b/:

oSautihiiniyakirai,inayotamkwakwakuwekamidomopamojanakuvutahewakutoka kwenye mapafu kwa njia rahisi.

b)      /mb/:

 

 

2.2.    Matiniyakujichagulia

 

 

  1. Nivyemakuchaguamatiniambayounapendaauinayohususualaambalo linakuvutia.
  2. Unafaakujichaguliamatiniinayolingananakiwangochako.Isiwengumusana kuelewa wala isiwe ya kiwango cha chini sana.
  3. Chaguamatiniinayokufunzamienendomiemanamaarifamapya. Usichague matini inayokupotosha kimaadili.
    • Unaposomamatiniyakujichagulia,zingatiayafuatayo:
  4. Chaguapahalipatulivupa
  5. Tambuavipengelemuhimuvyamatinihiyo,kamavilejalada,anwani,mwandishi,madaausuala linalozungumziwa,ukubwawamatinikwakurejeleakurasa,kiwangochake,namaelezokwenye jalada upande wa nyuma.
  6. Isomematinikijuujuuilikupatamwelekeowakijumlakuhusumatini
  7. Somatenakwa
  8. Ukikumbananamanenomageniauyasiyoeleweka,jaribukukisiamaanayakekwakuisomatena sentensi ambapo neno hilo limetumika.
  9. Nukuumanenoyotemapyaaumageni
  10. Tumiakamusikuhakikishamaanasahihiyamaneno
  11. Andikavidokezovyaujumbemuhimukatikamatini

 

2.3.    Baruayakirafiki

  1. Anwaniya anayeandika
  2. Tarehe
  3. Mtajo,kwamfano: Kwarafiki mpendwa
  4. Utangulizi:Baruayakujibubaruayakirafikihuanzakwasalamunakumjuliahaliunayemjibu
  5. Mwili:Majibuhutolewakatikasehemuhii.Nivyemakuandikasehemuhiikatikaaya,kilaaya ikiwa na hoja yake.
  6. Hitimisho:Baruayakujibubaruayakirafikihuhitimishwakamabaruayakirafikikwakutaja uhusiano wa mwandishi na anayeandikiwa. Jina la mwandishi huja chini yake.
    • Kumbuka:Sahihihaiwekwikatikabaruayakujibubaruaya

 

 

 

MpendwaKarambu,

BentaHaruni,

S.L.P.4872-00100,

Maganjoni. 13/08/2025

Pokea salamu za heri njema kutoka kwangu. Ni matumaini yangu kwamba u buheri wa afya. NimefurahikusikiakuwaunaendeleavyemanakuwamasomoyaGrediyaTisayanakupelekavyema huko Buruburu.

Lengolangulakukuandikiabaruahiinikukushukurunakukuarifukuwanilipokeabarua uliyoniandikia.

Kwanzakabisa,shukranizadhatizinafaakutokakwangu,maanamimindiyeniliyefaidikazaidi na mwaliko wako. Maelekezo uliyotupatia ya baadhi ya mazoezi ya mwili tunayoweza kufanya mara kwamaranyumbaninashuleniyamenifaasana.Ninakupamkonowatahaniakwamakalayakoambayo bila shaka uliyafanyia utafiti wa kutosha. Hakika, ulitufunza mengi.

Kuhusu swali uliloniuliza kuhusu maoni ya wenzangu tuliohudhuria nao hafla hiyo, yaonekana simimituniliyefaidika.Kwelielimunibahari.Tamaraanasemaalijifunzakwambamtuanapaswa kuzingatiahaliyakeyaafyanakuchaguamazoeziyaviungovyamwilikulingananaumriwake.Barasa nayeanasemaalishangazwakwambakunamazoezikwavijananakwawazee! Atihatabibiyake

anawezakushirikimazoeziyamwilikulimwajabishasana.Kwangumimi,jamboambalosikulijuaawali nikwambamazoezi yanawezakumsaidiamtu kupatausingizi bora.Shukranikwakazinzuri uliyofanya.

Shukranipiakwakunifahamishakatikabaruauliyonitumiakuwaumekubalipendekezola kuanzisha Chama cha Amirijeshi wa Afya wasio na Mipaka, sawia na chama chenu. Hii itatusaidia kuwahamasisha wanajamii kuhusu masuala mbalimbali ya kiafya.

Nakutakiakilalaherikatikashughulizakozote.Ninatazamiakukutananawelikizoniili tufahamishane mengi. Kwa sasa, kwa heri ya kuonana.

 

Sahibuyakompendwa,

 

Mfano:

 

 

 

Benta.

 

 

2.4.    Vihusishivya-aunganifunavyasababu

Vihusishinimanenoambayohuelezauhusianokatiyamanenoauvifunguvyamanenokatikasentensi.

 

a)      Vihusishivya-aunganifu

kinachotumiwakuonyeshauhusianokatiyamchezonauigizaji.

 

 

b)      Vihusishivyasababu

 

 

 

 

 

 

 

 

3.   UTUNZAJIWA WANYAMA

3.1.     Tashbihi

❖                  Anamanenomengimithiliyachiriku.

  1. Kufafanuajambokwakulinganishanakitukingineilikumrahisishiamsikilizajiaumsomaji kuelewa jambo.
  2. Kujengapichaautaswirakatikaakiliyamsikilizajiaumsomajiya
  3. Kwakufananishavifaaauhalinanyingine,msikilizajiaumsomajihuelewa vyema zaidi.
  4. Tashbihihumwondoleamsikilizajiaumsomajiukinaifuunaotokanana kutumia lugha kavu.

 

 

3.2.     Sitiari

 

 

  1. Kumjengeamsikilizajiaumsomajipichakamiliyamtu,kituauhaliambayoinaelezewa,kwa mfano: Ng’ombe hawa ni nzige. Wamekula mimea yote shambani.
  2. Kuelezeatabiazawahusika,kwamfano:Marianimalaika.Hawezikumdhuru
  3. Kuadilishaaukutoafunzofulani,kwamfano:Usiwemkonowabirika,nivyemakuwasaidia
  4. Kuongezaladhakwenyelughailikumwondoleamsikilizajiukinaifu,kwamfano:Machoyakeni nyota usiku, badala ya kusema Ana macho yanayong’ara.

 

 

3.3.     Methali

  1. hutumia lugha ambayo huonyesha hekima au maarifa ya kiasili. Huundwa kwa sehemu mbili. Kipande cha kwanza hutoa wazo, cha pili hukamilisha wazo hilo, kwa mfano, Kidole kimoja hakivunjichawa.Upandewapilibaadayakituounakamilishawazolililodokezwakatikaupande wa kwanza.
  2. huwanamaanaya juunayandani.Maanayandanindiyohutoaujumbe
  3. hutumialughayenyemdundowa
  4. aghalabuhuundwakwatamathalizauseminambinunyinginezalugha,kwamfano,methali: Ndovu hashindwi na mkonga wake, imeundwa kwa sitiari. Ndovu ni sitiari ya binadamu, na mkonga wake ni sitiari ya majukumu au changamoto zinazomkabili binadamu.
  5. hutumia lughainayofungamananamuktadhawajamii ambayo imebuni methali hiyo, kwa mfano,methali:Hasirayamkizifurahayamvuvi,inafungamananajamiiyawavuvi,ilhali, methali: Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune, inahusishwa na jamii ya wakulima.

 

  1. Methali: Machohayanapazia,kwamfano,inaonyesha kwamba macho huona kila kitu. Ukishaona kitu, umekiona; hakuna kufuta kumbukumbu hiyo.
  2. kuelimishaaukuadilisha,kwamfano,methali:Harakaharakahainabarakainafundisha umuhimu wa kufanya mambo kwa utulivu na kwa umakini.
  3. kutoa ushauri au mwongozo wa maisha, kwa mfano, methali: Usitukane wakunga na uzazi ungalipoinashauriwatukuwawaaminifunakutowapuuzawengineaumsaadaunaotokakwao hata kama hawauhitaji kwa sasa.
  4. Methali:Asiyesikialamkuuhuvunjikaguu,kwamfano,inaonyadhidiyakupuuza ushauri.
  5. Badalayakutoamaelezo,onyoauushaurikwalughayakawaida, methali hutumika.

 

 

3.4.     UshairiI

 

 

  1. Hutumialughayamkatoyenyempangiliomaalumuwa
  2. Manenohufupishwa;kwamfano,nenokiwajengeabadalayaukiwajengea
  3. Kwamfano,‘Likujawangumlezi’kwa kawaida inafaa kuwa ‘Mlezi wangu alikuja.’
  4. Huwanaurudiajiwasauti,silabi,manenoaumistari.Urudiajihuuhuletamdundowakimuziki katika shairi.
  5. Mashairihupangwakatikabetibadalaya
  6. Kilaubetihuundwakwamishororobadalaya
  7. Shairilinawezakuwanakipandekimoja, viwili au vitatu katika kila mshororo. Kipande cha kwanza cha mshororo wa shairi huitwa ukwapi, cha pili utao na cha tatu huitwa mwandamizi.
  8. Mizaninisilabikatikashairi.Mizaniyamwishokatikakila kipande huitwa vina.

 

 

3.5.     Inshayamasimulizi

  1. Ujumbe–Ujumbenijambolinalozungumziwanandiyosababuyakuandikainshaya
  2. Maudhui–Maudhuinimambomuhimuyanayokusudiwakuwasilishwakatika
  3. Mandhari–Mandharinimazingirayainsha.Yanawezakuwamandhariyakiwakatiauya
  4. Ploti–Plotinimsukowamatukioaujinsimatukiokatikainsha
  5. Mhusika au wahusika – Ni mtu au kiumbe ambacho mwandishi wa insha anatumia kuwasilisha ujumbe wake. Insha ya masimulizi kwa kawaida huwa na mhusika mmoja mkuu. Hata hivyo, inawezakuwanawahusikawengineambaowanaingiliananamhusikahuyu,amakwakumsaidia au kumwekea vikwazo.
  6. Mgogoro–Mgogoronimvutanokatiyapandembilikatikakisachamasimulizi.Mvutanohuu au mgogoro ndiyo mwandishi hulenga kuutatua katika insha ya masimulizi.
    • Kwakurejeleakipengelechamuundo,inshayamasimulizihuwanamada,utangulizi,mwilina

 

 

 

Mfanowainshayamasimulizi

Amina aliifungua pazia ya dirisha cha matwana hiyo. Aliangaza macho yake mbele kule-e-e-e. Aliiona mbugakubwanapanakamabahari.Aliiajabiambugahiyo.Fikirazilimtumakuwaziamaelfukwamaelfu ya wanyama walioishi humo. Aliwaza kuhusu ndovu. Aliwaza kuhusu kifaru. Aliwaza kuhusu duma na simba. Alipomwazia simba, mwili ulimsisimka kiasi. Malaika yalimsimama. Alimwogopa simba. Hata hakujuakwaninialimwogopamnyamahuyokiasihicho.PenginenikwasababuJumaalikuwa amemsimulia kisa cha simba mmoja ambayealikuwaametoroka kwenye mbuga hiyo na kuishia kwenye zizi la jirani yao. Hayawani huyo aliwafagia mbuzi wa jirani asimbakize hata mmoja!

 

“Maskini,jiranihuyo.Laitikungalikuwamchanasikuhiyo,penginemajiraniwangemsaidia!Kwabahati njema,ng’ombewalinusurika.Walikuwanabahatiyamtende.Waliponeachupuchupukwasababu walikuwazizinikulikodhibitiwasawasawailimnyamayeyoteasiwezekupenya,”Aminaalijisemea moyoni huku akiwtazama kongoni waliokuwa wakinywa maji kwenye kidimbwi maalum kilichokuwa kimezingirwa kwa ua wa miti.

 

Aliyarudishamawazoyakekwenyesafariambayo,kamaalivyoaminiyeye,hakuwaameilaliawala kuiamkia.Niziaraambayoilijikabidhimikononimwakeautusemeilitokananaimaniyakekwamba alikuwaamekiinamiakilichokuwamvungunimwake.Hataalipoiwaziasafarihii,hakujuasababuyaMzee Salim kuamua kumtuza kwa tendo dogo kama hilo.

 

“KuwajengeabatabandanijambolakumfanyababamtukumtunukiabintiyakeziarayaMbugaya Kilelecha kweli?” Amina alizidi kuajabia. “Mbuga ambayo inahusudiwa na ulimwengu mzima! Safari yenyewe inafanikishwa gari maalum la kitalii! Anayempeleka huko si mwingine ila baba yake!” Amina aliona vigumu kuamini.

 

Mwenyewe,BwanaKazi,alikuwaameziachashughulizakezakazikatikaShirikalaMjawaHeriambako ndiye Afisa Mkuu Mtendaji. Wengine kwenye safari hii ni watalii kutoka ughaibuni. Amina hakuacha kushangaa kwa tendo hili la baba yake. Hata hivyo, moyo wake ulimkumbusha kwamba mcheza kwao hutuzwa.

 

“Tazama!Tazamahuyo nyumbu!Tazamahuyopundamilia!Onajinsi wanavyovutia!”

SautiyamtaliimmojamwenyeasiliyaUingerezandiyoiliyomtoaAminakutokakwenyelindilamawazo alikokuwa amejitumbukiza. Alipoyainua macho aliona maandishi makubwa kwenye kiingilio cha mbuga hii ya wanyama: “Karibuni kwenye Mbuga ya Wanyama ya Kilelecha. Huku ndiko thamani ya uhai inakopatikana.”

 

 

AlimwonaMzeeSalimakijifunguamkandawausalama,akaaminikwambakwelindotoyakeyakuizuru mbuga hii ilikuwa imetimia.

 

 

3.6.     Vihusishivilinganishinakihusishi‘na’

a)      Vihusishivilinganishi

 

b)      Kihusishi‘na’

wazaziwalifurahishwanajuhudizawanafunzizakuwatunzawanyama

 

4.   UTUNZAJIWA MALIASILI

4.1.     Vitendawili

Vitendawilihuwanamuundowaswalina jibu.

  1. Kwamfano:

Mtegaji:Kitendawili?

Hadhira:Tega!

Mtegaji:Blanketilangulinamadoadoa.

Mmojawahadhira: Chapati.

Mtegaji:Ndio,amepata!

 

  1. Iwapohadhiraitakosakuteguakitendawili,mtegajihuulizahadhiraimpemji,kishahutoajibu sahihi. Kwa mfano:

Mtegaji:Kitendawili?

Hadhira:Tega!

Mtegaji:Blanketilangulinamadoadoa.

Mmoja wa hadhira: Chui. Mtegaji:Lahasha!Nipenimji. Hadhira: Mandera

Mtegaji:NiliendaMandera,watotowaManderawakanitumaniwasalimu.Jibulakeni chapati.

 

  1. Kwakuwavitendawilinitungozafasihisimulizi,maranyingihuambatananahadithinatanzu nyingine za fasihi simulizi. Katika jamii za Kiafrika, vitendawili vilitanguliza vipindi vya

 

4.2.     Nahau

 

 

  1. Nahauhuundwakwamanenozaidiyamoja;kwamfano:katatamaa,pigamoyokonde,paka mafuta kwa mgongo wa chupa.
  2. Kwakawaida,nahauhuwafupi;kwamfano:pigagumzo,tiamakini.
  3. Maanayanahauhutofautiananamaanayamanenoyanayoiunda;kwamfano:katakambasi kutenganisha kamba, bali ni kufa.
  4. Nahautofautizinawezakuwanamaanasawa;kwamfano,kutoarushwa,kuzungukambuyu, kutoa mlungula na kutoa chai zote zinamaanisha kuhonga.

 

 

4.3.     Kusomakwaufasaha

 

 

4.4.     Inshayakubuni:Masimulizi I

 

 

 

 

4.5.     -ki-yamashartina-ka-yakufuatanakwavitendo

a)      -ki-yamasharti

 

b)      -ka-yakufuatanakwavitendo

 

5.   MITAZAMOHASIYAKIJINSIA

5.1.     Ufahamuwakusikiliza

  1. Uwezowakuelewasarufiyalughainayotumiwakatikamasimulizi
  2. Ufahamuwamsamiatiwalugha husika
  3. Uwezowakukumbukayaliyosemwa
  4. Kuwezakutajahojamuhimukutokananayaliyosikilizwa
  5. Kutoaufupishowayaliyosikilizwakwa

 

 

5.2.     Kusomakwaufahamu

  1. Kamakunapichainayoandamanakifungu,ikaguekwanzailikupata muktadha wa matini hiyo.
  2. Bainishalengolakusoma,kwamfanokusomailikufahamumsamiati,ilikuelezahabariauili kudondoa habari mahususi.
  3. Tiliamaananiainayamsamiati
  4. Jaribukukisiamaanayavifungunamanenomagenikwakuzingatiamuktadhawasentensi
  5. Zingatiaalamazauakifishajiunaposomailikuelewaujumbeunaokusudiwa
  6. Pitiakusomatenahukuukitafakarimatukionamaelezokwenye

 

 

5.3.     Insha:ShajaraI

  1. Shajarayakibinafsi-Mamboyakibinafsikuhusumatukiomuhimuyasikufulanihuhifadhiwa katika aina hii ya shajara.
  2. Shajarayakiofisi-Mipangonamatukiomuhimuyanayotokeakatikashirikafulanihuandikwa kwenye shajara ya aina hii ili kuweka kumbukumbu. Kwa kawaida, mashirika yote hutarajiwa

 

 

kuwanashajara.

  1. Muundo -Shajarahuwa nakichwa, tarehenatukio. Tarehehuonyeshasiku ambayo mambo yanayonakiliwayalipotendeka.Tukiolililotendekasikuhiyoaulinalopangiwakufanyikasiku hiyo huandikwa chini ya tarehe ya siku hiyo.
  2. Mtindo-Kimtindo, shajara:
    • Huandikwakwaufupi
    • Hutumiawakatiuliopitakunukuumatukioyaliyotokeasikuhiyo
    • Wakatiujaohutumikakunakilimamboyanayopangwakufanywakatikamudaujao,hasa katika shajara rasmi.

 

Mfanowashajara

Shajarayakibinafsi:ShajarayaSitiMwendwa Jumatatu 14/10/2025

NilimtembeleashangazikatikakijijichaKatena.

Tulizungumziampangowanguwakusomeauandishibaadayakumalizamasomoyanguyashuleni.

 

Jumanne15/10/2025

Nilijiunganawenzangushuleni.Tulijadilikuhusuumuhimuwakupuuzamitazamohasiyakijinsia. Nilivutiwa sana na maoni ya wenzangu.

 

Jumatano16/10/2025

Ilikuwasikuyanguyakuzaliwa.Wenzanguwaliniandaliakaramushuleni.Nilifurahi sana.

 

Alhamisi17/10/2025

Tulitembelewanamshaurinasahashuleni.Alitushaurikuwanamsimamothabitinakutoruhusu mitazamo ya jamii kuhusu jinsia kuwa kikwazo katika kufuata ndoto zetu maishani.

 

 

5.4.     Haliyamasharti-nge-na-ngali-

a)      Haliya-nge-

 

 

na-nge-yamasharti havikutokea.

 

 

 

 

 

 

 

b)      Haliya-ngali-

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

6.   USALAMABARABARANI

6.1.     Kusikilizakwakusafiri

  1. Kusikilizakwamakiniilikupataujumbemaalumu
  2. Kutiliamaananijinsilughailivyotumikakuonyeshamsimamo,kamavilekukosoaau kufurahia
  3. Kuhakikimsamiatiuliotumika
  4. Kuchunguzaiwapokunajambolinalopingwaaukuungwamkono
  5. Kuwanaufahamumzuriwamsamiatikatikamatini inayofasiriwa
  6. Kuelewaisharanaviziadavyalughavinavyoashiriamisimamofulani
  7. Kujielezapasipokupotoshaujumbeunapofasirimsimamona

 

 

6.2.     Kusomakwakina:UshairiII

 

 

6.3.     Inshayamethali

  1. Kutafitimaanayajuunayandaniyamethaliunayoiandikiainsha
  2. Kubunikisakinachooananamaananamatumiziyamethali husika
  3. Kuzingatiamatumizisahihiyalughakiubunifu
  4. Kuzingatiamtiririkoufaaowamatukiokwenyekisa
  5. Kupambanuawahusikaipasavyo
  6. Kuzingatia muundo ufaao, yaani utangulizi unaofafanua maana ya methali, mwili unaosimuliakisanahitimisholinalobainishaujumbeaufunzolinalowasilishwanakisa kuhusiana na methali.

 

Mfano

Kinganiborakulikotiba

Methalihiiinamaanakuwaniherikuzuiajambokulikokuanzakutafutanamnayakulisuluhisha.Kwa kawaida, methali hii hutumiwa kutahadharisha watu kujiepusha na mambo yanayoweza kuwadhuru.

21|Pa ge

 

MkhwasialipoamkasikuilealikuwananiayakusafirihadimjiwaBondeni.Alikuwaameipangasafari hii kwa siku nyingi. Siku yenyewe ilikuwa muhimu sana kwake kwa sababu alikuwa anaenda kuanza kazimpyamjini.Baadayakukamilishashughulizakezamaandalizi,alichukuamkobawakena kuelekea katika stendi ya mabasi ya kwenda mjini.

 

Alifikakatikakituochabasimapemailikuwahibasilakwanza.Ulikuwamwendowasaakuminambili asubuhi basi lililojulikana kama “Kamata” lilipowasili. Kama kawaida, abiria walikuwa wengi kwani magari katika kijiji hicho cha Mwinamo hayakuwa mengi. Ilibidi waliokuwa na safari wajaribu kuwa mapema.

 

Mkhwasi alipata nafasi yake ndani ya basi. Aliketi kwenye kiti kilichokuwa karibu nadereva. Muda si muda,utingoaliwatangaziaabiriawajifungemikandayausalamakablayasafarikuanza,lakini Mkhwasialipuuza.Safariyamjiniiling’oananga.Basililiendeshwataratibuhadipalewalipoacha barabara ya changarawe na kushika ya lami.

 

Basililiongezakasiikawadhahirishahirikuwahalikuwanakidhibitimwendo.Derevaalizidikuongeza mwendo.Abiriawotewalinyamaza.Kutokaalipoketi,Mkhwasialiwezakuonakuwakasiyabasi ilikuwa kilomita mia moja ishirini kwa saa, lakini hakuthubutu kusema lolote. Woga ulimvaa pamojana abiria wenzake. Hata aliposhikwa na hofu, hakukumbuka kufunga mkanda wake wa usalama.

 

Basi lilifika katika eneo lililokuwa na kibao kilichoonyesha kuwa wanyama hupita pale, lakini dereva hakutiamakini.Ghaflabinvualitokeang’ombealiyekuwaakivukabarabara.Derevaalijaribu kumkwepa,lakinigarililipotezamwelekeonakubingiriamarakadhaa.Baadhiyaabiriawalipata majerahamadogonakukimbizwahospitalinikwamatibabu.Mkhwasi,ambayeilibainikakuwahakuwa amejifunga mkanda wa usalama, aliumia sana. Alilazwa hospitalini kwa muda.

 

Pale hospitalini, Mkhwasi alianza kuwaelezea watu namna gari likiendeshwa kwa mwendo wa kasi. Alijutia kutomwambia dereva apunguze mwendo. Alijutia pia kutofunga mkanda wa usalama kwani daktarialimwelezakuwaangekuwaameufungamkandawausalamaasingepatamajerahamakali. Kutokasikuhiyo,Mkhwasialiamuakuwaatakuwaakifungamkandawausalamanakutonyamaza wakati sheria za barabarani zinapokiukwa. Ama kweli, kinga ni bora kuliko tiba.

 

 

6.4.     Vielezivyanamnanavyawakati

a)      Vielezivya namna

 

 

 

b)      Vielezivyawakati

 

–           Vielezivyawakativinawezakutumikamahalipopotekatikasentensi.

 

7.   HUDUMAKATIKAASASIZA KIJAMII

7.1.     Kusikilizanakutathmini

  1. Unaposikilizahotubanakutathminilugha,ushawishi,utaratibuwakuelezahoja,naustadi wa mawasiliano kwa ujumla.
  2. Katikamikutanonamajadiliano,unasikilizakwakuthaminiumuhimuwamaudhuinahojaza
  3. Katikamahojiano,wanaohojihusikilizakwakutathminiilikubainiiwapowahojiwawanafaa kwa jukumu lengwa kutokana na jinsi wanavyojieleza.
  4. Katikaelimu,walimuhusikilizauwasilishajiwawanafunziilikutathminiufahamuwaona kutoa maoni yanayosaidia ujifunzaji.
    • Kusikilizakwakutathminikunahitajimakini,uwezowakufikirikwauangalifunakutoamaoniya busara kulingana na habari iliyosikilizwa.
    • Vipengelemuhimuvyakuzingatiaunaposikilizakwakutathmininipamojana:

 

 

7.2.     Ufupisho

Kumbuka:

 

 

 

 

7.3.     Insha:MaelezoI

  1. Utangulizi:Hapa,mwandishianaelezeakwakifupijamboatakalolielezeakatikainshahiyo. Utangulizi huu hutumika kuandaa msomaji kuelewa maudhui ya insha.
  2. Mwiliwainsha:Mwandishi anatumia mifano, picha au maelezo ya kina ili kusaidia msomaji kuelewa vizuri kile anachokielezea.
  3. Hitimisho:Katikasehemuhii,mwandishianatoamuhtasariwakilekilichozungumziwakatika mwili wa insha na mara nyingi hutoa wazo la kumalizia au muktadha wa mwisho.

 

Mfanowainshayamaelezo:Maishayashule

Utangulizi:Maishayashulenisehemumuhimuyamaishayakilamtu.Hapa,mtuhupataelimuambayo ni nguzo muhimu katika maisha yake ya baadaye. Katika insha hii, nitatuelezea maisha ya shule kwa ujumla.

Mwili wa insha: Katika shule, mwanafunzi hupitia vipindi mbalimbali vya masomo kama Kiswahili, Hisabati,Sayansinamasomomengine.Kilasomolinakuwanaumuhimuwakekwamaendeleoya mwanafunzi.Pia,maishayashulehayahusishimasomopekee,balipiashughulizakijamiikamamichezo, sanaa, na mikutano ya kijamii. Wanafunzi pia hujifunza nidhamu na kushirikiana na wenzetu.

Kwaupandemwingine,maishayashuleyanachangamotombalimbali,ikiwanipamojanakufanyakazi nyingizanyumbani,mitihani,nashinikizolakufaulu.Lakinikwaujumla,shulenisehemu inayomfundisha mwanafunzi mbinu za kuishi na kujitolea kwa jamii.

Hitimisho: Kwa kumalizia, maisha ya shule ni sehemu muhimu ya kukua na kujifunza. Ingawa kuna changamoto,badonisehemuyakujengamsingiwamaishayabaadaye.Hivyo,kilamwanafunzianapaswa kuchukulia maisha ya shule kwa umakini na juhudi kubwa.

 

 

7.4.     Vielezivyamahali

 

 

  1. Nominozakawaidazilizoongezwakiambishimwishoni,kwamfano:
    • barabarani
    • bwenini
    • hospitalini
    • jandoni
    • mjini
    • ofisini
    • shuleni
  2. Nominozapekeezinazotajamahali,kwamfano:
    • Ushelisheli
    • Nakuru
    • MlimaKenya
    • ZiwaVictoria
    • MwembeTayari
    • KisiwachaNgazija
  3. Viashiriavyamahali,kamavile:
    • mle
    • kule
    • pale
      • Mifanokatikasentensi:
    • FamiliayaoinaishiviunganimwamjiwaNanyuki.
    • NitaendaAmerikabaadayakufuzumasomo
    • Panyaamejifichapale.
    • Serikaliyetuimewaondoavijanawanaorandarandamitaaninakuwapeleka shuleni.
    • Wavulanawalipelekwajandonikupewaushauri
      • Vielezihuwezakutumikaaukujitokezamahalipopotekatikasentensi,iwenimwanzoni,katiau mwishoni mwa sentensi.

 

 

7.5.     Vielezivyaidadi

 

 

 

8.   MISUKOSUKOYAKIJAMII

8.1.     Uzungumzajiwakushawishi

 

 

8.2.     Kusomakwakina:UshairiIII

 

 

  1. Mishororo–Mstarikatikashairihuitwa
  2. Beti–Mashairihupangwakatikavifunguvyamishororo.Kifunguchamishororoiliyowekwa pamoja katika shairi huitwa ubeti, wingi ni beti. Ubeti ni sawa na aya katika maandishi ya

 

 

  1. Vipandevya mishororo –Mashairiyanawezakuwanakipandekimojaauzaidi.Kipandecha kwanza cha mshororo huitwa ukwapi. Cha pili ni utao na cha tatu, mwandamizi.
  2. Vina –Silabiausautiza mwishokatikavipande vyamishororohuitwavina.Aghalabu, mashairi huwanavinavyakatinavyamwishokutegemeaidadiyavipandekatikamishororo.Maranyingi vina hulingana katika ubeti kwa shairi zima au katika baadhi ya mashairi.
  3. Mizani–Silabikatikashairihuitwamizani.Aghalabu,idadiyamizanikatikavipandevyashairi hulingana, kwa mfano, ukwapi ukiwa na mizani 8 na utao 8, mishororo yote katika shairi kama hilo itakuwa na mizani 8, 8.
  4. Kibwagizo–Maranyingimashairihuwanamshororowamwishoambaounarudiwarudiwa katika kila ubeti. Mshororo huu huitwa kibwagizo.
    • Vipengelehivivyakimuundondivyohuzingatiwakatikakuainishamashairi,kwamfano:
  5. Shairilamishororomiwilikatikakilaubetihuitwatathnia,lenyemishororomitatu huitwa

tathlithanalenyeminnehuitwatarbia.

  1. Shairiambalovinavyakatinavyamwishovyotehufananahuitwamtiririko,naambalovina vya kipande kimoja hufanana lakini kingine hubadilika-badilika huitwa ukara.
  2. Shairilenyekipandekimojahuitwautenzi,lenyevipandeviwilihuitwamathnawinavitatu,

ukawafi.

 

 

8.3.     Matumiziyamabano()

  1. Kuonyeshamaelezoyaziadaaumanenoambayosiyalazimakatikasentensi,kwamfano:Naibuwa mwalimu mkuu (ambaye ameketi mbele) ni jirani yetu.
  2. Kufungiamaelekezoyajukwaani,hasakatikamazungumzoaumchezowakuigiza,kwamfano: Mwalimu Juma: (akitabasamu) Hamjambo wanafunzi?

Wanafunzi:(kwapamoja)Hatujambomwalimu!

  1. Kufungianambariunapoorodhesha,kwamfano: (i)

(ii)

(iii)

  1. Kutoanenojinginelenyemaanasawa,kwamfano:Msichana(banati)ndiyealiyetia
  2. Kufungia mifano katika orodha au ufafanuzi, kwa mfano: Msukosuko wa kijamii (ghasia, vurugu, kutokuelewanaaumigogoroyakikabila)maranyingihusababishwanatofautizakitamaduni,kisiasa au kiuchumi katika jamii.

 

 

8.4.     Matumiziyakistarikifupi(-)

  1. Kutenganishatarehe,mwezi,namwaka.Mfano:23-09-
  2. Kutoamaelezozaidi,kwamfano:Mgeniwetu-aliyetarajiwakutoaushauri-alitumaudhuruwa kutokuja kupitia kwa mwakilishi wake.
  3. Kutenganishamanenomawiliyaliyounganishwailikuundanominoambata,kwamfano,kitenzi-
  4. Mfano:Watuwengi wameathiriwa na msukosuko wa kija- mii unaosababishwa na migogoro ya kijamii.

 

 

  1. Kuonyeshakipindifulanichawakatiaukuanziamahalifulanihadipengine,kwamfano:Safariya Naivasha-Moshiilichukuamudamrefu.Shulezilifungwakwasababuyajangalakoronamwaka wa 2020-2021.
  2. Kutengasilabikatikaneno,kwamfanonenomsukosukolinasilabitano:m-su-ko-su-

 

 

8.5.     NgeliyaU-ZI

Umoja Wingi
Uawakoumejengwa vizuri. Nyuazenuzimejengwavizuri.
Udiunaochomwaunatoaharufunzuri. Nyudizinazochomwazinatoaharufunzuri.
Ukoowetuunatambulikanawengi. Koozetuzinatambulikanawengi.
Ukutahuuunaufaunaoweza kuubomoa. Kutahizizinanyufazinazowezakuzibomoa.
Ulimiunawezakujenganakubomoa. Ndimizinawezakujenganakubomoa.
Uziuliotumiwakufungiaufagioulitokana. Nyuzizilizotumiwakufungiafagiozilitokana.
Wayahuuuna kutu. Nyayahizizina kutu.
Wembeuliomkataulikuwampya. Nyembezilizowakatazilikuwampya.

 

 

8.6.     NgeliyaYA-YA

                               mafuta                                                                                                                                      

 

 

Umoja Wingi
Majiyamemwagika. Majiyamemwagika.
Manukatoyaliyonunuliwayananukia. Manukatoyaliyonunuliwayananukia.

 

9.   MATUMIZIYAVIFAAVYAKIDIJITALIKATIKA BIASHARA

9.1.     Sauti/j/na/nj/

 

 

9.2.     Insha:Masimulizi

 

 

kikamilifu.Mawazo hayahujengwakwakuzingatiamadayamasimulizi.

 

 

9.3.     NgeliyaLI

 

 

9.4.     NgeliyaKU

                     kunywa                                                                                                                                            

 

 

 

 

9.5.     NgeliyaPA-KU-MU

Kwamfano: Shuleshuleni.

zinapotumikakatikasentensi,kamailivyoonyeshwakatikamifanoyasentensiulizosoma.

 

10.   KUKABILIANANAMSONGOWA MAWAZO

10.1.     Malumbanoyautani

  1. Malumbanoyautanihutokeakatiyawatuwawiliaumakundimawiliya
  2. Utaniunamisinginamipaka
  3. Watuhawahufanyianamizahaambayo inadhihirisha uhusiano mwema kati yao.
  4. Mbinuyachukuhutumiwakwakiasikikubwailikusisitizaaukukejelisifa
  5. Malumbanoyautaniyanawezakuwaya
  6. Huchukuamtindowaushindani,kilammojaakijaribukumpiku
  7. Wakatimwinginewatuhutaniawatuwasiokuwepo,hasakatikamaigizoya
  8. Lughayaucheshinaisiyorasmihutumiwakatikakuwasilishamalumbanoya

 

 

10.2.     Wahusikakatikafasihi

 

 

10.3.     Baruayakuombakazi

  1. Muundo:Muundowabaruarasmiyakuombakazihujumuishasehemu zifuatazo:
    1. Anwani–Baruarasmiyakuombakazihuwanaanwanimbili:yamwandishinaya

 

 

anayeandikiwa.

  1. Tareheyakuandikwabarua –Tareheambayobarua
  2. Mtajo–Baruarasmiyakuombakazihuelekezwakwamwajirimtarajiwa,kwamfano,

KwaMenejawaRasilimaliWatu,KwaMenejaMkuuauKwaBi/Bw.

  1. Sababuyakuandikabarua–Sababuhudokezwakwamanenoyaliyofupishwa,kwa mfano: ‘Kuh’ (Kuhusu), ‘Mint’ (Mintarafu).
  2. Utangulizi–Hujumuishamadhumuniyakuandikabarua.Katikautangulizi,elezapia jinsi ulivyopata habari kuhusu nafasi ya kazi.
  3. Mwiliwabarua–Katikasehemuhii,maelezomahususikuhusuombilakazihutolewa. Mawazo hupangwa kwa aya, kila aya ikiwa na wazo maalumu.
  4. Hitimisho – Barua rasmi ya kuomba kazi huhitimishwa kwa maagano na kueleza matumainiyakupewanafasi.Mwandishihuwekasahihiyake,ikifuatwanajinalake.
  1. Ujumbe:Ujumbehuuhuhusianamojakwa moja na aina ya kazi inayotolewa ombi pamoja na ithibati zinazohusiana na kazi hiyo.
  2. Lugharasmihutumiwakatikabaruayaaina

 

 

Mfano:

BellaNurdin

KibingotiJumuiya,S.L.P10, Kibarani.

 

15/7/2025

 

 

MenejaMkuu,

HospitaliYaHudumaKwaJamii,

S.L.P200100101,

Kilaguni.

 

KwaBibi/Bwana,

 

KUH:MAOMBIYAKAZIYAUUGUZI(NAFASI/1/1040)

NaandikabaruahiikuombanafasiyakaziyauuguzikatikaHospitaliyaHudumaKwaJamiiambayo ilitangazwa katika Gazeti la Nyota, toleo la Jumanne tarehe 8/7/2025.

 

NilihitimunastashahadayaUuguzikutokaChuoChaMafunzoyaMatibabuchaMasakamwakawa 2022. Aidha, nimepata mafunzo ya ushauri na uelekezaji yanayohusiana na masuala ya matibabu.

 

Nimepatafursayakutumiaujuziwangukamamuuguzinamshaurikatikazahanatindogomtaani KilaguniiitwayoTibaMedicalServiceskwamiakamiwilisasa.Katikamudahuo,nimewezakutekeleza majukumu yangu kwa ufanisi bila kusimamiwa, hali iliyonipelekea kutunukiwa tuzo ya Mshauri Bora katikaZahanatiyaTibamwakauliopita.Hilililiwezekanakwamapendekezoyawenzanguambao walinufaikasananaushauriwanguuliowasaidiakukabiliananamsongowamawazokutokanana shinikizo za kitaaluma.

 

 

Falsafayanguyakitaalumanikufanyakazikwaushirikianonawenzangu.Ninaaminikwambanikipewa nafasi katika hospitali yenu, nitaweza kutoa mchango chanya wa kibinafsi utakaowafaa wadau wote pamoja na wateja wetu wanaohitaji huduma ninazoweza kuwapatia.

 

Pamojanabaruahiiyamaombi,nimeambatishawasifuwangupamojanavyetinastakabadhinyingine zinazoonyesha ufaafu wangu kwa nafasi hii. Natarajia kusikia kutoka kwako karibuni.

 

Wakomwaminifu,

 

 

BellaNurdin

 

10.4.     Vinyumevyavihusishi

Kihusishi Kinyumechakihusishi
chiniya juuya
nyumaya mbeleya
mbali na karibuna
kablaya baadaya
njeya ndani ya
mwanzowa mwisho wa

 

11.   HAKIZA KIBINADAMU

11.1.     Uzungumzaji katikasherehe

  1. muktadhawasherehe,kamanishereherasmiauisiyo rasmi
  2. ainayasherehe,kwamfanokamanishereheyafurahakamaharusiauyahuzunikama matanga au maombolezo
  3. matumiziyalughakulingananahadhiraauwatukatikajamiiwaliohudhuria,kamani wageni, wanafamilia, watoto au watu wazima
  4. kujikitakatikakiinichasuala

 

 

11.2.     Kusomakwamapana

 

 

11.3.     Insha:MaelezoII

 

 

kuelewavyema nakuonakile kinachoelezewa.

 

 

11.4.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendana

Kutenda Kutendana
Andika Andikana
Beba Bebana
Penda Pendana
Shika Shikana
Soma Somana
Suka Sukana
Tega Tegana
Tuma Tumana
  1. Binadamukoteulimwenguniwanafaa
  2. Nimuhimukuunganakatikakulindahakiza
  3. Sikosakwamajiranikuombanakile
  4. Sisinimarafikiwemanandiosababutunatunzanakila
  5. Tunafaakuhimizanakuheshimuhakizoteza
  6. Wateteziwahakizakibinadamunawapinzaniwaowalisomanamawazokablayakutoakauli
  7. Watotowalishikanamikonowakivuka

 

 

11.5.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendeana

-leana,kwamfano:

Kutenda Kutendeana
Amua Amulia
Kimbia Kimbiliana
Kumbatia Kumbatiana
Lima Limiana
Pokea Pokeleana
Shika Shikiana
Soma Someana
  1. Gavananambungewaliwasilishianamichangowalipokutanakatika
  2. Mamanamtotowakewalikumbatianawalipokutanabaadaya
  3. Miakayahaponyuma,njiaborayakujulianahalibainayajamaanamarafikiilikuwa kuandikiana barua.
  4. Nimuhimukuulizianajinsiyakudumishahakiza
  5. Sisihusahihishianainshazetu
  6. Wateteziwahakizakibinadamunawenyejiwaowalipokeleanakwa
  7. Watuwanafaakushughulikianakatikamaishakwakuwahamna

 

 

11.6.     Mnyambulikowavitenzi:Kauliyakutendesha

Kutenda Kutendesha
Chomoa Chomoza
Kimbia Kimbiza
La Lisha
Panga Pangisha
Soma Somesha

 

  1. Alialielezavilerafikiyakealivyomwangushawalipokuwa
  2. Kakaalimlishamtoto

       c)Kisatulichokisomakilituchekeshasana.                                                                                                  

 

 

  1. Mamaalimtembezamtotonjealipoanzakuliakwenye
  2. Mwalimualimsimamishamteteziwahakizakibinadamu
  3. Mwalimuametusomeshakuhusuhakiza
  4. Mwalimumkuualimpishamgeniwaheshimailiatoehotuba

 

 

 

 

 

12.   MAGONJWAYANAYOTOKANANAMIENENDOYA MAISHA

12.1.     Ufahamuwakusikiliza

Mamboyakuzingatiakatikaufahamuwakusikiliza:

  1. Kuachakuzungumzaaukushughulikanamambomenginewakati
  2. Kuchunguzamitazamonamaoniyamzungumzajiilikuelewa
  3. Kuepukakuingiliamtuanapozungumzakablayakumalizakauli
  4. Kujibuipasavyokutegemeaujumbe
  5. Kukadiriaainayamsamiatinavifunguvyamanenovinavyotumiwana
  6. Kutiliamaananianachosemamzungumzajipamojanakusomaisharazamwili
  7. Kutolazimishamaoniyakoausuluhishokwa
  8. Kutulianakuwa
  9. Kuwasilianakwaisharazakimwili,kamavilekukubalikwakichwaaukutumiamaneno yanayoonyesha kwamba unasikiliza kwa umakinifu.

 

 

12.2.     Kusomakwaufasaha

 

 

12.3.     Insha:Hotubayakushawishi

 

 

  1. Huwanautangulizi,mwili,na
  2. Huandikwakatikaalamazakufunguausemimwanzoninakufungwakwaalamazakufunga
  3. Utanguliziwakehuanzakwasalamuzinazotambuahadhimbalimbalizawasikilizajina kufuatwa na lengo la hotuba yenyewe.
  4. Kilahojahuwasilishwakatikaayayake, ikiungwa mkono na mifano au ithibati za kuaminika ili iweze kushawishi.
  5. Hitimisho huangazia kwa muhtasari hoja muhimu ambazo hadhira inapaswa kuzingatia kutokananahotubapamojanakutoawitounaoandamananaujumbe.Mwishokabisa,hatibu huwashukuru waliohudhuria kwa kumsikiliza.
    • Hotubahufungwakwaalamazakufunga

 

Mfano:

HotubayaAfisawaAfyakatikaHaflayaKaunti

“MheshimiwaGavana,WaziriwaAfya,MkurugenziwaHospitaliyaTaifa,maafisawenzanguwaafya, wakuu wa shule, wazazi na wanafunzi, hamjambo? Naitwa Bi. Dawama Bakari. Ninafanya kazi katika sekta ya afya. Nimefurahi kupokea mwaliko kutoka kwa Gavana wenu, Bw. Matayarisho, kuhutubia kikaohikikuhususualalinalonigusamoyonisana,lamagonjwa yanayotokananamienendoyamaisha.

 

Afya ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Tunapoona umati huu wenye afya njema, tunafurahi. Hatahivyo,tusisahaukuwakunamagonjwayanayosababishwanamienendoyamaishaambayo yanawezakutushambuliaupesikamaumeme.Magonjwaninayorejeleahapanikamavilekisukari, unene wa kupindukia, shinikizo la damu na aina mbalimbali za saratani. Magonjwa haya yanaweza kusababishwa na mienendo ya maisha yetu, ikiwemo ukosefu wa mazoezi ya mwili, lishe isiyofaa, uvutaji wa sigara, na unywaji wa pombe kupindukia.

 

TakwimuzahivikaribunikutokakwaShirikalaAfyaDunianizinaonyeshakuwamagonjwahaya yanazidikuongezekaulimwengunikote.Mienendoyamaishainajumuishaainayashughuli tunazofanyakilasiku,vyakulatunavyokula,mudawakulala,mazoeziyamwili,namatumiziyasigara napombe. Mienendohiiinapokuwamibayandiyoinayosababishakuibukakwamagonjwakama hayo.

 

Hata hivyo, tusikate tamaa kwa sababu tunaweza kubadilisha hali hii. Ni muhimu kutambua kwamba magonjwahayahayasambaikutokakwamtummojahadimwingine.Lichayahilo,hatunabudi kujitathminivyema.Kumbuka,njiaborayakudumishaafyanjemanikulavyakulavyakiasili,mboga, na kufanya mazoezi. Tunapaswa kuacha tabia za kuvuta sigara na kunywa pombe kupita kiasi.

 

 

Inashangaza kuwa magonjwa haya yaliyokuwa yakichukuliwa kama ‘magonjwa ya matajiri’ yanazidi kuongezeka hata huku mashinani. Ni muhimu kuchukua hatua sasa kwani magonjwa haya yanaweza kusababishaulemavunavifo,nakutwikafamilianaserikalimzigomzitowakiuchumikwahudumaza afya.ShirikalaAfyaDunianilinatabirikuwaasilimiasitininamojayavifovitasababishwana magonjwa haya ifikapo mwaka wa 2030. Sasa ndio wakati mwema wa kuchukua hatua za dharura.

 

Ningependa kumalizia kwa kuwaomba nyote kutafakari kwa kina juu ya ujumbe wangu. Tushirikiane kudhibitimagonjwayanayosababishwanamienendoyamaisha.Tukiungana,tutashindajangahili, kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Asanteni sana!”

 

12.4.     Sentensitata

  1. Matumiziyanahau,hasaiwapomsikilizajihaelewikuwaninahau.Kwamfano:Nyanyayangu amekula chumvi. Sentensi hii inaweza kuleta maana kuwa:
    • Nyanyaametumiachumvikamavilekwenye
    • Nyanyaameishikwamiaka

 

  1. Matumiziyamanenoyenyemaanazaidiyamoja,kwamfano: Mamaamenunua

Sentensihiiinawezakumaanisha:

Ilikuondoautatahuu,unawezakutoamaelezozaidiyatakayobainishakinachorejelewa,kwa mfano:

 

  1. Mnyambulikofulaniwavitenzi,kwamfano:Katikasentensihii, ‘alimkimbilia’ inaweza kumaanisha:
    • Mtotoalikimbiakwaniabaya
    • Mtotoalikimbiakuelekeakwa

 

  1. Matumiziyasiyokuwasahihiyaviunganishiauvihusishipiayanawezakuletautata,kwamfano:

Anachoranakijiti.Sentensihiiinawezakumaanishakuwa:

Ilikuondoautatakatikasentensihii,tunawezakusema:Anachorakwakijiti.

 

13.   MSHIKAMANOWA KIJAMII

13.1.     Mawaidha I

 

 

13.2.     Matumiziyalugha:UshairiIV

  1. Tashbihi–kulinganishavituviwilivinavyofananakwabaadhiya
  2. Tashhisi–kuonyeshahisiaauhaliyamtukwakutumiamanenoyanayooneshahisia
  3. Sitiari–kubadilishamaanayanenomojakwakutumiatafsirinyingineilikuonyeshapichaau hali fulani.
  4. Tasfida–kutumiamanenoyaziadailikutoamaanailiyozidiaukuimarishapicha
  5. Urudiaji–kuimarishamaanakwakurudianenoaukipengelefulanikatikasentensiaukifungu cha maneno.
  6. Tanakalizasauti–kuonyeshaufanisiwasautikatikakifasihi;kurudiasautiauherufifulani mwanzoni mwa maneno au kurudia sauti za vokali.
  7. Methali–usemiwakifasihiunaotumiamfanowamaishailikutoafunzoau
  8. Nahau–usemiwakifasihiuliojaamaanamaalum,ambapomanenohuchukuamaananyingine isiyokuwa ya kawaida.
  9. Utohozi–mbinuinayohusishauhamishajiwamaanakutokasehemumojahadinyingine,ikiwa ni njia ya kutumia mtindo wa kifasihi.
  10. Misemo–Nimanenoauusemiunaotumikakutoamaanafulanikatikajamii,kamavilemethali lakini mara nyingi hutumika kama maneno ya kawaida yenye maana ya ziada.

 

 

 

shukuru.Mbinuhiihuitwatabdila.

ukizingatiaumoja.

 

 

13.3.     Insha:MaelezoIII

  1. Maudhui:Maudhuihuoananahali
  2. Muundo:Muundowainshayaainahiihuwanaanwani,utangulizi,mwilina
  3. Lugha:Lughayakimaelezoauyakiufafanuzi

 

 

13.4.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-nge-

Tunapokanushamashartiya-nge-,kiambishisi-chaukanushondichohutumikakwakuwekwakabla ya -nge-.

Uyakinifu Ukanushaji
Angeshonaingemtoshea. Asingeshonaisingemtoshea.
Ningekujamapemaningekupata Nisingekujamapemanisingekupata
Ningetembeaningechelewa. Nisingetembeanisingechelewa.
Opiyoangewaunganishawangekujapamoja Opiyoasingewaunganishawasingekuwapamoja
Ungekujaungempata. Usingekujausingempata.
Ungesomaungepatamaarifa Usingesomausingepatamaarifa

 

 

13.5.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-ngali-

Uyakinifu Ukanushaji
Angalimshikambwaangalimuuma. Asingalimshikambwaasingalimuuma.
Ningalimtembeleaangalifurahi. Nisingalimtembeleaasingalifurahi.
Ungalikujaungalinipata. Usingalikujausingalinipata.

 

 

 

13.6.     Ukanushajiwahaliyamashartiya-ki-

Uyakinifu Ukanushaji
Akiungananawenzakeatasaidiwa. Asipoungananawenzakehatasaidiwa.
Nikimtembeleanitampelekeazawadi. Nisipomtembeleasitampelekeazawadi.
Ukiuzakwabeinafuuutapatawateja. Usipouzakwabeinafuuhutapatawateja.

 

14.   MATUMIZIYAKODI

14.1.     MawaidhaII

  1. Manenoyatakayotoawosiaufaaohuteuliwakwamakini
  2. lughanyenyekevuiliiwezekuathirihisianakushawishi msikilizaji
  3. Mbinumbalimbalizalughailikujengapichahalisiya
    • Baadhiyambinuhizinikamavilemethali,misemo,nahau,jazanda,sitiari,tashbihi,uhamasishaji, tanakali za sauti na urudiaji.
    • Mbinuhizihutumikailikuyapamawaidhauzito,mifanoyahadithiaumasimuliziyanayohusianana ujumbe wa mawaidha ili kuyapa mawaidha uhalisia na kuelezea dhana ngumu kwa njia inayoeleweka kwa urahisi, lugha wazi na iliyo rahisi kueleweka ili hadhira isichanganyikiwe na kukosa kuelewa ujumbe, sauti na kiimbo kwa utaratibu ili kujenga hisia zinazofaa na kushawishi
    • Isharazinapotumika, zinatakiwa kuwa za asili na zinazofaa kulingana na muktadha wa mawaidha na hadhira.
    • Isharahizinikamavile:
  4. kutazamahadhiraanakwaanailikuonyeshauaminifunauhusianowakibinafsi
  5. kutabasamumarakwamarailikuwafanyawatuwahisivyemahivyokurahisishaushirikina kuelewa mawaidha
  6. Hatahivyo, epuka kutumia mikono sana au kwa njia inayoweza kuwachanganya wasikilizaji
  7. kutikisakichwakuonyeshamakubaliano,kutokubaliana,aukusisitizahojafulanikatika mawaidha
  8. kuonyeshahisiausonizafuraha,huzuniaukukubaliananahadhira yako
  9. kupandisha,kushukishasautiaukubadilishakasiyakusemailikuongezeaatharizasautikwa uzito wa lugha ya mawaidha.

 

 

14.2.     Insha:ShajaraII

 

 

  1. Shajarayakibinafsiambapomtuhuandikamatukiomahususiyakilasikunamaazimioyakeya siku zijazo.
  2. Shajararasmiambapomatukioyakiofisihuwezakuandikwana
    • Shajarahuwanavipengelevifuatavyovyakimuundo:
  3. Anwani:Shajarahuwanaanwani,kwamfano,shajaraya
  4. Sikunatarehe:Shajarahuwanasehemuiliyoandikwasikunatareheambapomatukiotofauti yalitukia au yanayotarajiwa hunakiliwa.
  5. Shajarahuwananafasizinazoonyeshawakatimaalumunanafasiyakurekodimatukioyawakati huo kulingana na saa za siku.
  6. Baadhiyashajarahuratibiwakulingananamiezinahujumuishamieziyoteya
    • Vipengelevinginevyashajaranikuwa:

 

Mfano:

JumalaPili,mwezi wa10,mwaka2025

Siku Saa Tukio
Jumatatu 8:00asubuhi-8:30

asubuhi

MkutanonaBwanaMatafariNang’ole,AfisawaMamlakaya

KodiyaKenya.

11:00asubuhi-1:00

adhuhuri

MkutanonaBwanaMhindikatikaofisizaoviwandani.
Jumanne 9:00asubuhi-10:00

asubuhi

Kwendabenki.
2:00adhuhuri-4:00

alasiri

Kwendakufunguaakauntiyakulipiakodi.
Jumatano 7:00asubuhi-8:45

asubuhi

KuzuruMamlakayaKodiyaKenya.
9:00asubuhi-10:00

asubuhi

MafunzonaBwanaMatafariNang’olekuhusunamnayakutumia

mtandaokulipakodi.

Alhamisi 11:00asubuhi-12:00

mchana

Kufikakatikaafisiyaummainayotoahudumayausajiliwa

kampunizabiashara.

2:00adhuhuri-3:00

mchana

Kutembeleamadukayajumlamjiniyanayouzatarakilishi.

 

 

Ijumaa 7:00asubuhi-10:30

asubuhi

Kuhudhuriamnadawamifugokwenyesoko kijijini.
3:00alasiri- 4:00

alasiri

Kuwasilishastakabadhizakampuninaakauntiyaulipajikodi

kwaMamlakayaKodiyaKenya.

 

14.3.     Udogowanomino

Kawaida Udogo
Umoja Wingi
kisu kijisu vijisu
mbuzi kibuzi vibuzi
mti kijiti vijiti
ng’ombe kigombe vigombe
nguo kiguo viguo
njia kijia vijia
Kawaida Udogo
Mbwaamebwekakwamudamrefu. Kijibwakimebwekakwamudamrefu.
Mbwawamebwekakwamudamrefu. Vijibwavimebwekakwamudamrefu.
Kitandakimenunuliwana mtalii. Kijitandakimenunuliwanamtalii.
Vitandavimenunuliwana watalii. Vijitandavimenunuliwanawatalii.

 

 

14.4.     Ukubwawanomino

  Kawaida Ukubwa  
Umoja Wingi
mbwa jibwa majibwa
mti jiti majiti
jino jijino majijino
njia jia majia

 

 

mbuzi buzi mabuzi
Kawaida Ukubwa
Njiahiiitakarabatiwakesho. Jiahililitakarabatiwakesho.
Njiahizizitakarabatiwakesho. Majiahayayatakarabatiwakesho.
Ng’ombehuyuanamaziwa mengi. Gombehililinamaziwamengi.
Ng’ombehawawanamaziwa mengi. Magombehayayanamaziwamengi.

 

15.   MAADILIYA KITAIFA

15.1.     Kusikilizakwakutathmini

 

 

15.2.     Ufupisho

  1. Kutambuahojaaumawazomakuukatikamatiniilikuyaelezakwaufupi
  2. Kuelezahabariupyakwamanenoyakomwenyewe
  3. Kupunguzamaelezoyaziada
  4. Kudondoshamifano
  5. Kuandikahabariupyakwampangiliowenyemuwala
  6. Kuzingatiamaelekezoyoteyaufupisho,ikiwanipamojana:
    • Kuhakikishahujajirudiarudia
    • Kuhakikishakuwahojazotemuhimuzimejumuishwa
    • Kuhakikishaufupishounatiririkaifaavyokwamantiki
    • Kuhifadhiujumbewaasili
    • Kusomanakuhaririufupisho
    • Kutumiaviunganishivifaavyokuunganishahojamuhimukwamtiririkounaofaa
    • Kuzingatiakanunizakisarufikwausahihi

 

 

15.3.     Insha:Kujibubaruapepe

  1. Madayabaruapepeinayotolewamajibu inarejelewa ili kuhakikisha muktadha unabaki kama ulivyokuwa.

 

 

  1. Anwaniyabaruapepeya
  2. Anwaniyabaruapepeyaanayetumiwa
  3. Tarehenasaayakutuma
  4. Mtajo,kwamfano:Kwa(cheoaujinalampokeaji).
  5. Utanguliziwabaruapepeambaohujumuishamarejeleoyabaruapepeunayojibunashukurani kwa kupokea baruapepe ya awali.
  6. Mwiliwabaruapepeambaohutoamaelezoaumajibukwabaruainayojibiwakwaundanina
  7. Hitimisholakufungajibulabaruapepeausalamuzakuaga,kamavile:”Salamu,””Asante” au “Shukrani” ikifuatwa na jina na cheo chako, kama majibu ya baruapepe ni rasmi.
    • Unawezapiakuambatanishaviambatanishoikiwanimuhimukwa

 

 

15.4.     Usemihalisinausemiwataarifa

  1. Alamazamtajo
  2. Badalayake,maelezohutumiwa. Kama ni kiulizi, kwa mfano, maelezo kuwa aliuliza au waliuliza hutumiwa. Kama ni alama ya hisia, maelezo kama alishangaa, alistaajabu au alimaka hutumiwa.
  3. Nyakatihubadilika,kwa mfano:
    • Wakatiuliopohaliyakuendeleahubadilikanakuwawakatiuliopitahaliyakuendelea: mfano: ninafanya mazoezi huwa alikuwa akifanya mazoezi.
    • Wakatiujaohubadilikanakuwahaliya-nge-:mfano:nitasomahuwaangesoma.
  4. Nafsiyakwanzawingihubadilikanakuwanafsiyatatu,kwamfano:Tutaimbahuwa

wangeimba.

  1. Vielezihubadilika,kwamfano:
    • Vielezivyamahali:hapahuwahapoaupale.
    • Vielezivyawakati:leohuwasikuhiyo;keshohuwasikuiliyofuata;janahuwasiku iliyotangulia na sasa huwa wakati huo.
Exit mobile version